Year: 2019

Mswada wa Kudhibiti Michango

Kuna Mswada katika Bunge la Taifa utakaodhibiti suala hili la michango au harambee. Jina la Mswada ni Public Fundraising Appeals Bill. Kuna vifungu kadhaa ambavyo nitavitaja upesi upesi: 1. Ikiwa utataka kuendesha harambee ambayo inahusisha umma, basi utafaa kupata leseni au kibali kutoka kwa Mamlaka ya Polisi katika Kaunti (County

The Sub Judice Rule in Parliamentary Context

    Sub judice rule defined The term sub judice is derived from the Latin phrase adhuc sub judice li est, which means “the matter is still under consideration”. Black’s Law Dictionary further defines the term as “before the Court or Judge for determination”. However, in the context of Parliament,

Je, Mbona Sheria zetu humu nchini hazijatafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili?

Kwa muda sasa, nimekuwa nikitafakari kuhusu nafasi ya Ibara ya 7 ya Katiba ya Kenya inayotambua Kiswahili kama lugha rasmi ya Jamhuri yetu (pamoja na Kiingereza). Nimekuwa nikijiuliza ni kwa nini sheria zetu za Kenya hazijatafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili, miaka tisa baada ya kuzinduliwa kwa Katiba yetu. Ili kupata

An Overview of the Punguza Mizigo Bill Seeking to Amend the Constitution

Photo credit: Wilberforce Okwiri/Standard Introduction This blog post is on Kenya’s ongoing attempt to amend the Constitution through the popular initiative. This post is structured in two parts: the first part, dealing with the procedure laid out in the Constitution; and the second part, providing an overview of the Punguza

Legislative drafting contrast between Louisiana and Kenya

LOUISIANA LEGISLATURE/NRA-ILA I have been in New Orleans, Louisiana, this past week in a two-week course on legislative drafting organized by the Public Law Centre of the  Tulane Law School. This first week has been exciting. We have had brilliant presentations on the US and Parliamentary  Systems, Legislative and Administrative Drafting,