Month: December 2019

Mswada wa Kudhibiti Michango

Kuna Mswada katika Bunge la Taifa utakaodhibiti suala hili la michango au harambee. Jina la Mswada ni Public Fundraising Appeals Bill. Kuna vifungu kadhaa ambavyo nitavitaja upesi upesi: 1. Ikiwa utataka kuendesha harambee ambayo inahusisha umma, basi utafaa kupata leseni au kibali kutoka kwa Mamlaka ya Polisi katika Kaunti (County