Tag: KISWAHILI

Istilahi za Bunge (10/100)

Departmental Committee- Kamati ya Kiidara Committee on Administration and National Security- Kamati ya Utawala na Usalama wa Taifa Committee on Agriculture and Livestock- Kamati ya Kilimo na Mifugo Committee on Communication, Information and Innovation- Kamati ya Mawasiliano, Habari na Uvumbuzi Committee on Defence and Foreign Relations- Kamati ya Ulinzi na

Istilahi za Bunge (9/100)

Votes and Proceedings of the House- Kumbukumbu za Vikao vya Bunge la Taifa Broadcast of proceedings- Upeperushaji wa Vikao vya Bunge la Taifa Journals of the House- Majarida ya Bunge la Taifa Summons- Hati ya wito Parliamentary caucus- Kikundi cha wabunge Periodic review of Standing Orders- Udurusu wa mara kwa

Istilahi za Bunge (8/100)

Division of Revenue Bill- Mswada wa Kugawa Mapato Revenue allocation- Mgao wa mapato Commission on Revenue Allocation- Tume ya Ugavi wa Mapato County Allocation of Revenue Bill- Mswada wa Kutenga Mapato kwa Kaunti  Equalisation Fund- Hazina ya Usawazishaji Committee of Supply- Kamati ya Ugavi wa Fedha Budget and Appropriations Committee-Kamati

Istilahi za Bunge (4/100)

Public Private Partnerships Act- Sheria ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi Balance (of finances/monies)- Bakaa Consolidated Fund- Mfuko Mkuu wa Serikali/Hazina Kuu la Serikali Inflation- Mfumuko wa bei Excise Duty Act-Sheria ya Ushuru wa Bidhaa Public Finance Management Act- Sheria ya Usimamizi wa Fedha za Umma

Istilahi za Bunge (2/100)

Statement- Kauli Legislative proposal- Pendekezo la mswada Enacting formula- Kauli tekelezi Limitation of fundamental rights and freedom- Udhibiti wa haki na uhuru wa kimsingi Publication- Uchapishaji wa mswada Bill concerning county government- Mswada unaohusu serikali za kaunti Recommittal Procedure- Utaratibu wa Urejeshaji Lapse of Bill- Kutanguka kwa mswada Mediation- Kamati

Istilahi za Bunge (1/100)

Order Paper- Ratiba ya Shughuli Quorum- Akidi Message- Ujumbe Statement Hour- Saa ya Kauli  Motion- Hoja Notice of Motion- Arifa ya Hoja  Special Motion- Hoja Maalum Division- Kura ya Mgawanyiko  Electronic voting- Kura ya kielektroniki Roll call voting- Kura ya kuita majina _ ayes & nays

Marekebisho katika Toleo la 6 la Kanuni za Kudumu za Bunge la Taifa

Utangulizi Bunge linaendeshwa na kanuni, mazoea, mitindo, uamuzi wa awali, desturi, taratibu, mila na mienendo yake na mabunge mengine. Kanuni za Kudumu zinatoa mwelekeo wa jinsi ambavyo shughuli za Bunge zitaendeshwa katika ukumbi na kamati. Kanuni za Kudumu, au Standing Orders, katika lugha ya Kiingereza, zinatoa majibu kwa kiasi kikubwa

Mswada wa Kudhibiti Michango

Kuna Mswada katika Bunge la Taifa utakaodhibiti suala hili la michango au harambee. Jina la Mswada ni Public Fundraising Appeals Bill. Kuna vifungu kadhaa ambavyo nitavitaja upesi upesi: 1. Ikiwa utataka kuendesha harambee ambayo inahusisha umma, basi utafaa kupata leseni au kibali kutoka kwa Mamlaka ya Polisi katika Kaunti (County

Je, Mbona Sheria zetu humu nchini hazijatafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili?

Kwa muda sasa, nimekuwa nikitafakari kuhusu nafasi ya Ibara ya 7 ya Katiba ya Kenya inayotambua Kiswahili kama lugha rasmi ya Jamhuri yetu (pamoja na Kiingereza). Nimekuwa nikijiuliza ni kwa nini sheria zetu za Kenya hazijatafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili, miaka tisa baada ya kuzinduliwa kwa Katiba yetu. Ili kupata

Audio- Utunzi wa Sheria Bungeni

Image credit: Erasmus Student Network Oulu   This blog is built on the promise that all our readers should be able to access its content. Towards this, as you might have realized, we have ensured that almost all of the blog-posts have audio recordings below them. This is to make